Mapinduzi yaliyofaulu barani Afrika kwa zaidi ya miongo saba

Takriban mapinduzi 130 yaliyofaulu yametokea katika nchi 36 barani Afrika tangu mwaka 1952 wakati Mfalme Farouk wa Misri alipokuwa rais wa kwanza wa Kiafrika kuondolewa madarakani.

Viongozi waliopinduliwa

Imepangwa kutoka mapinduzi ya hivi punde hadi yale ya zamani zaidi
  • Ali Bongo

    Rais Gabon Gabon
    Soma zaidi...
  • Mohamed Bazoum

    Rais Niger Niger
    Soma zaidi...
  • Paul-Henri Sandaogo Damiba

    Kaimu Rais Burkina Faso Burkina Faso
    Soma zaidi...
  • Rocha Kabore

    Rais Burkina Faso Burkina Faso
    Soma zaidi...
  • Abdalla Hamdok

    Waziri Mkuu Sudan Sudan
    Soma zaidi...
  • Alpha Conde

    Rais Guinea Guinea
    Soma zaidi...
  • Bah Ndaw

    Rais Mali Mali
    Soma zaidi...
  • Ibrahim Boubacar Keita

    Rais Mali Mali
    Soma zaidi...
  • Omar al-Bashir

    Rais Sudan Sudan
    Soma zaidi...
  • Robert Mugabe

    Rais Zimbabwe Zimbabwe
    Soma zaidi...
  • Blaise Compaore

    Rais Burkina Faso Burkina Faso
    Soma zaidi...
  • Mohamed Mohamed Morsi

    Rais Misri Misri
    Soma zaidi...
  • Francois Bozize Yangouvonda

    Rais Jamhuri ya Afrika ya Kati Jamhuri ya Afrika ya Kati
    Soma zaidi...
  • Amadou Toumani Toure

    Rais Mali Mali
    Soma zaidi...
  • Muammar Gaddafi

    Kiongozi wa Taifa Libya Libya
    Soma zaidi...
  • Laurent Gbagbo

    Rais Ivory Coast Ivory Coast
    Soma zaidi...
  • Hosni Mubarak

    Rais Misri Misri
    Soma zaidi...
  • Zine El Abidine Ben Ali

    Rais Tunisia Tunisia
    Soma zaidi...
  • Mamadou Tandija

    Rais Niger Niger
    Soma zaidi...
  • Kapteni Moussa Dadis Camara

    Rais Guinea Guinea
    Soma zaidi...
  • Marc Ravalomanana

    Rais Madagascar Madagascar
    Soma zaidi...
  • Aboubacar Sompare

    Rais Guinea Guinea
    Soma zaidi ...
  • Sidi Ould Cheikh Abdallahi

    Rais Mauritania Mauritania
    Soma zaidi...
  • Maaouya Ould Sid Ahmed Taya

    Rais Mauritania Mauritania
    Soma zaidi...
  • Fradique de Menezes

    Rais Sao Tome and Principe Sao Tome and Principe
    Soma zaidi...
  • Ange-Felix Patasee

    Rais Jamhuri ya Afrika ya Kati Jamhuri ya Afrika ya Kati
    Soma zaidi...
  • Henri Konan Bedie

    Rais Ivory Coast Ivory Coast
    Soma zaidi...
  • Joao Bernardo Viera

    Rais Guinea-Bissau Guinea-Bissau
    Soma zaidi...
  • Tadjidine Ben Said Massonde

    Rais Comoro Comoro
    Soma zaidi...
  • Ibrahim Bare Mainassara

    Rais Niger Niger
    Soma zaidi...
  • Johnny Paul Koroma

    Kiongozi wa Taifa Sierra Leone Sierra Leone
    Soma zaidi...
  • Pascal Lissouba

    Rais Congo Congo
    Soma zaidi...
  • Ahmad Tejan Kabbah

    Rais Sierra Leone Sierra Leone
    Soma zaidi...
  • Mobutu Sese Seko

    Rais DR Congo DR Congo
    Soma zaidi...
  • Sylvestre Ntibantunganya

    Rais Burundi Burundi
    Soma zaidi...
  • Mohammed Farrah Aidid

    Rais Somalia Somalia
    Soma zaidi...
  • Mahamane Ousmane

    Rais Niger Niger
    Soma zaidi...
  • Valentine Strasser

    Kiongozi wa Taifa Sierra Leone Sierra Leone
    Soma zaidi ...
  • Mohamed Said Djohar

    Rais Comoro Comoro
    Soma zaidi...
  • Miguel Trovoada

    Rais Sao Tome and Principe Sao Tome and Principe
    Soma zaidi...
  • Dawda Kairaba Jawara

    Rais Gambia Gambia
    Soma zaidi...
  • Ernest Shonekan

    Rais Nigeria Nigeria
    Soma zaidi...
  • Joseph Momoh

    Rais Sierra Leone Sierra Leone
    Soma zaidi...
  • Chadli Bendjedid

    Rais Algeria Algeria
    Soma zaidi...
  • Justin Lekhanya

    Rais Lesotho Lesotho
    Soma zaidi...
  • Moussa Traore

    Rais Mali Mali
    Soma zaidi...
  • Mohamed Siad Barre

    Rais Somalia Somalia
    Soma zaidi...
  • Hissene Habre Habre

    Rais Chad Chad
    Soma zaidi...
  • Samuel Doe

    Kiongozi wa Taifa Liberia Liberia
    Soma zaidi...
  • Ahmed Abdallah Abderemane

    Rais Comoro Comoro
    Soma zaidi...
  • Sadiq al-Mahdi

    Waziri Mkuu Sudan Sudan
    Soma zaidi...
  • Habib Bourguibia

    Rais Tunisia Tunisia
    Soma zaidi...
  • Thomas Sankara

    Rais Bukrkina Faso Burkina Faso
    Soma zaidi ...
  • Jean-Baptiste Bagaza

    Rais Burundi Burundi
    Soma zaidi...
  • Tito Lutwa Okello

    Rais Uganda Uganda
    Soma zaidi ...
  • Leabua Jonathan

    Waziri Mkuu Lesotho Lesotho
    Soma zaidi...
  • Muhammadu Buhari

    Rais Nigeria Nigeria
    Soma zaidi...
  • Milton Obote

    Rais Uganda Uganda
    Soma zaidi...
  • Gaafar Muhammad al-Nimeiry

    Kiongozi wa Taifa Sudan Sudan
    Soma zaidi...
  • Mohamed Khouna Ould Haidalla

    Rais Mauritania Mauritania
    Soma zaidi...
  • Louis Lansana Beavogui

    Kaimu Rais Guinea Guinea
    Soma zaidi...
  • Shehu Shagari

    Rais Nigeria Nigeria
    ...
  • Jean-Baptiste Ouedraogo

    Rais Burkina Faso Burkina Faso
    Soma...
  • Saye Zerbo

    Rais Burkina Faso Burkina Faso
    Soma zaidi...
  • Goukouni Oueddei

    Rais Chad Chad
    Soma zaidi...
  • Hilla Limann

    Rais Ghana Ghana
    Soma zaidi...
  • David Dacko

    Rais Jamhuri ya Afrika ya Kati Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR
    Soma zaidi...
  • Sangoule Lamizana

    Rais Burkina Faso Burkina Faso
    Soma zaidi...
  • Luis Cabral

    Rais Guinea-Bissau Guinea-Bissau
    Soma zaidi...
  • Godfrey Binaisa

    Rais Uganda Uganda
    Soma zaidi...
  • William Tolbert

    Rais Liberia Liberia
    Soma zaidi...
  • Mohamed Mahmoud Ould Louly

    Rais Mauritania Mauritania
    Soma zaidi...
  • Jean-Bedel Bokassa

    Rais/Mfalme Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR
    Soma zaidi...
  • Fransisco Macias Nguema

    Rais Equitorial Guinea Equitorila Guinea
    Soma zaidi...
  • Yusufu Lule

    Rais Uganda Uganda
    Soma zaidi...
  • Fred Akuffo

    Rais Ghana Ghana
    Soma zaidi...
  • Mustapha Ould Salek

    Rais Mauritania Mauritania
    Soma zaidi...
  • Idi Amin Dada

    Rais Uganda Uganda
    Soma tena...
  • Joachim Yhombi-Opango

    Rais Congo Congo
    Soma zaidi...
  • Moktar Ould Daddah

    Rais Mauritania Mauritania
    Soma zaidi...
  • Ignatius Kutu Acheampong

    Kiongozi wa Taifa Ghana Ghana
    Soma zaidi...
  • Ali Soilih

    Rais Comoro Comoro
    Soma zaidi...
  • Tafari Benti

    Rais Ethiopia Ethiopia
    Soma zaidi...
  • James Mancham

    Rais Seychelles Sychelles
    Soma zaidi...
  • Michel Micombero

    Rais Burundi Burundi
    Soma zaidi...
  • Ahmed Abdallah Abderemane

    Rais Comoro Comoro
    Soma zaidi...
  • Yakubu Gowon

    Rais Nigeria Nigeria
    Soma zaidi...
  • Francois Tomalbaye

    Rais Chad Chad
    Soma zaidi...
  • Richard Ratsimandrava

    Kiongozi wa Taifa Madagascar Madagascar
    Soma zaidi...
  • Gabriel Ramanantsoa

    Rais Madagascar Madagascar
    Soma zaidi...
  • Aman Mikael Andom

    Kiongozi wa Taifa Ethiopia Ethiopia
    Soma zaidi...
  • Haile Sellasie I

    Mfalme Ethiopia Ethiopia
    Soma zaidi...
  • Hamani Diori

    Rais Niger Niger
    Soma Zaidi...
  • Gregoire Kayibanda

    Rais Rwanda Rwanda
    Soma zaidi...
  • Justin Ahomadegbe Tometin

    Rais Benin Benin
    Soma zaidi...
  • Philibert Tsiranana

    Rais Madagascar Madagascar
    Soma zaidi...
  • Dkt. Kofi Busia

    Waziri Mkuu Ghana Ghana
    Soma zaidi...
  • Milton Obote

    Rais Uganda Uganda
    Soma zaidi...
  • Emile Derlin Zinsou

    Rais Benin Benin
    Soma zaidi...
  • Abdirashid Ali Shermarke

    Rais Somalia Somalia
    Soma zaidi...
  • Mfalme Idris I

    Mfalme Libya Libya
    Soma zaidi...
  • Ismail al-Azhari

    Kiongozi wa Taifa Sudan Sudan
    Soma zaidi...
  • Modibo Keita

    Rais Mali Mali
    Soma zaidi...
  • Alphonse Massamba-Debat

    Rais Congo Congo
    Soma zaidi...
  • Andrew Juxton-Smith

    Kiongozi wa Taifa Sierra Leone Sierra Leone
    Soma zaidi ...
  • Christophe Soglo

    Rais Benin Benin
    Soma zaidi...
  • David Lansana

    Kiongozi Sierra Leone Sierra Leone
    Soma zaidi ...
  • Siaka Stevens

    Waziri Mkuu Sierra Leone Sierra Leone
    Soma zaidi...
  • Nicolas Grunitzky

    Rais Togo Togo
    Soma zaidi...
  • Ntare wa 5

    Mfalme Burundi Burundi
    Soma zaidi...
  • Leopold Biha

    Waziri Mkuu Burundi Burundi
    Soma zaidi...
  • Kwame Nkrumah

    Rais Ghana Ghana
    Soma zaidi...
  • Mfalme Muteza wa pili Wa Buganda

    Mfalme/Rais Uganda Uganda
    Soma zaidi...
  • Abubakar Tafawa Balewa

    Waziri Mkuu Nigeria Nigeria
    Soma zaidi...
  • Maurice Yameogo

    Rais Burkina Faso Burkina Faso
    Soma zaidi...
  • David Dacko

    Rais Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR
    Soma zaidi...
  • Sourou-Migan Apithy

    Waziri Mkuu Benin Benin
    Soma zaidi...
  • Moise Tshombe

    Waziri Mkuu DR Congo DR Congo
    Soma zaidi...
  • Ahmed Ben Bella

    Rais Algeria Algeria
    Soma zaidi...
  • Leon M'ba

    Rais Gabon Gabon
    Soma zaidi...
  • Hubert Maga

    Rais Benin Benin
    Soma zaidi...
  • Fulbert Youlou

    Rais Congo Congo
    Soma zaidi...
  • Sylvanus Olympio

    Rais Togo Togo
    Soma zaidi...
  • Patrice Lumumba

    Waziri `Mkuu DR Congo DR Congo
    Soma zaidi...
  • Abdallah Khalil

    Waziri Mkuu Sudan Sudan
    Soma zaidi...
  • Muhammad VIII al-Amin

    Mfalme Tunisia Tunisia
    Soma zaidi ...
  • Muhammad Naguib

    Rais Misri Misri
    Soma zaidi...
  • Farouk wa Misri

    Mfalme Misri Misri
    Soma zaidi...

Wimbi Jipya

Afrika imepitia mapinduzi manane yaliyofaulu katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita. Wimbi la sasa la mapinduzi linafuatia kipindi ambapo mapinduzi ya kijeshi yalishuka hadi kiwango cha chini kabisa katika miongo miwili hadi 2020, baada ya kushika kasi katika miaka ya 1970.

Kazi ya kudumu

Baadhi ya viongozi wanaonyakua mamlaka huongoza kwa miongo kadhaa huku wengine wakipinduliwa ndani ya siku chache baada ya kuchukua udhibiti wa serikali.

Rais wa Guinea ya Ikweta Teodoro Obiang Nguema, kwa mfano, amekuwa rais kwa miaka 44 baada ya kutwaa mamlaka mwaka 1979.

Ndiye kiongozi aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi barani Afrika.

Viongozi waliorudi mamlakani baada ya kuondolewa madarakani

Ukanda wa mapinduzi

Nchi nyingi za Sahel zimekuwa na uzoefu wa mapinduzi ya kijeshi. Mapinduzi ya hivi punde katika eneo linalojulikana kama ukanda wa mapinduzi yalitokea Niger na Gabon mwaka 2023.

Viongozi wa kijeshi pia walichukua mamlaka nchini Mali mwaka 2020 na 2021, na katika Chad, Guinea na Sudan mwaka 2021. Burkina Faso ilikumbwa na mapinduzi mawili mwaka wa 2022. Nchi zote hizi, isipokuwa Sudan, ni koloni za zamani za Ufaransa.

Tangu mwaka 2000, robo tatu (19 kati ya 26) ya mapinduzi yaliyofaulu barani Afrika yametokea katika makoloni ya zamani ya Ufaransa. Hii imesababisha baadhi ya watu kuhoji iwapo ushawishi wa Ufaransa barani Afrika una athari ya kuleta misukosuko

Mapinduzi yaliyofanikiwa barani Afrika tangu 1952

Chagua kulingana na nchi:

Idadi ya mapinduzi

0

2

4

6

8

Nchi nyingi za Afrika Magharibi na Kati zimekuwa na mapinduzi mengi yenye mafanikio. Takriban nusu ya nchi 17 ambazo zimeathiriwa angalau na mapinduzi manne ziko Afrika Magharibi.

Burkina Faso imekuwa na idadi kubwa zaidi ya mapinduzi yaliyofanikiwa barani Afrika ikiwa na manane, ikifuatiwa na Sierra Leone na Uganda zilizo na saba kila moja.

Ni theluthi moja tu ya nchi za Afrika, nyingi zikiwa za Mashariki na Kusini mwa Afrika, ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi yaliyofanikiwa.

Akiwa na umri wa miaka 34, kufikia 2024, Ibrahim Traoré ndiye rais mwenye umri mdogo zaidi duniani anayehudumu. Alikua kiongozi wa muda wa Burkina Faso kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya Septemba 30, 2022, ambayo yalimwondoa rais wa mpito Paul-Henri Sandaogo Damiba.

Mapinduzi ya kijeshi

Takriban asilimia 90 ya mapinduzi yaliyofaulu yamefanywa na jeshi na kufuatiwa na mamluki kwa asilimia 4. Aina nyingine za mapinduzi barani Afrika ni pamoja na upinzani wa raia, nguvu za kikoloni, vikosi vya waasi na mapinduzi ya ikulu.

Ishi kwa upanga, ufe kwa upanga

Viongozi wengi wanaonyakua madaraka kwa njia ya mapinduzi huondolewa baadaye na wakati mwingine kuuawa.

Mnamo 1972 Jenerali Ignatius Kutu Acheampong aliongoza mapinduzi yasiyo na umwagaji damu kumpindua Waziri Mkuu wa Ghana aliyechaguliwa kidemokrasia Dk Kofi Busia. Miaka sita baadaye, alitimuliwa katika mapinduzi ya ikulu na kuuawa kwa kufyatuliwa risasi mwaka mmoja baadaye.

Thomas Sankara alikua rais wa Burkina Faso mwaka 1983 kufuatia mapinduzi kwa niaba yake alipokuwa chini ya kifungo cha nyumbani. Tarehe 15 Oktoba 1987, Sankara aliuawa na kundi lenye silaha wakati wa mapinduzi yaliyoongozwa na mrithi wake Blaise Compaoré.

Gaafar Nimeiry alimuondoa madarakani Mkuu wa Jimbo la Sudan Ismail al-Azhari mwaka 1969 na kuchukua madaraka, kwanza kama mkuu wa utawala wa kijeshi, kisha kama rais kabla ya kupinduliwa mwaka 1985.

Jean-Baptiste Bagaza alimuondoa Rais wa Burundi Michel Micombero mwaka 1976 na kuchukua mamlaka. Miaka kumi na moja baadaye alifukuzwa, na kulazimika kwenda uhamishoni.

Omar al-Bashir aliingia madarakani mwaka 1989 wakati, akiwa Brigedia Jenerali katika Jeshi la Sudan, aliongoza kundi la maafisa katika mapinduzi ya kijeshi ambayo yaliiondoa madarakani serikali iliyochaguliwa kidemokrasia. Aliendelea kuhudumu kama mkuu wa nchi ya Sudan chini ya vyeo mbalimbali kuanzia 1989 hadi 2019, alipoondolewa madarakani kwa mapinduzi.

François Bozizé Yangouvonda alichukua mamlaka mwaka 2003 na kuwa rais wa sita wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Alipinduliwa miaka 10 baadaye.

Kuiweka katika familia

Kunyakua madaraka ni mila ya familia katika baadhi ya nchi. Rais wa Guinea ya Ikweta Francisco Macías Nguema alipinduliwa na mpwa wake, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, katika mapinduzi ya umwagaji damu mwaka 1979. Teodoro alimrithi. Kufikia 2024, ndiye kiongozi wa sasa wa kitaifa asiye wa kifalme duniani kuongoza kwa muda mrefu zaidi duniani.

Laurent Kabila alimpindua Rais Mobutu Sese Seko mwaka 1997 na kuwa rais wa tatu wa DR Congo. Alirithiwa na mwanawe Joseph Kabila aliyekuwa na umri wa miaka 29 wakati huo baada ya kuuawa na mmoja wa walinzi wake.